Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 25, 2010

Haraka haraka

Mfanyakazi mmoja alipokuwa ana mtayarishia mlo wa mchana bosi wake. Kwa vile mda ulikuwa umeenda sana akaamua kuwasha jiko la mkaa, ili ukolee haraka akachukua fani ya stand akaiwasha kuelekezea kwenye jiko la mkaa.

No comments:

Post a Comment