Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 29, 2010

Shoga

Shoga mmoja mwanajeshi wakati yupo vitani akawa anabishana na mwanajeshi mwenzake, "we vipi unazubaa zubaa nini m-shoot huyo adui anazidi kuja karibu yetu?"
Ndipo yule shoga akamjibu "we humuoni alivyo mzuri vile, mi siwezi"

No comments:

Post a Comment