Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 22, 2010

Gari

Jamaa mmoja alinunua gari kwa mtu akiwa eneo la mteremkoni kidogo, sasa baada ya kukabidhiana kimanunuzi nakadhalika nakadhanika, alipoingia kwenye gari na kuanza kwenda akanenena "doh gari hili zuri kweli halina kelele kabisa"


Baada ya mteremko kuisha likawa haliendi tena, akamuita fundi kwa vile yeye hana mazoea sana na gari. Fundi alipokiuja akafunua boneti la gari kunako injini na kumjibu mwenye gari "unajua ulikuwa ukiendesha bila injini?"

No comments:

Post a Comment