Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 29, 2010

Kwa dokta

Mama mmoja aliporudi nyumbani akawa anaongea mawili matatu na mumewe, kidogo anaingia mtoto wao wa kike. Wakamuuliza "enhe za hospitali? Daktari anasemaje?"
Mtoto kwa nafasi nae akawa anajibu, "majibu mazuri tu, ila nimesahau chupi yangu kwa dokta" wazazi walitizamana...

No comments:

Post a Comment