Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 19, 2010

Kutoelewana

Siku moja mke na mume walikuwa hawaonge na kati yao.
Mume akamuandikia kiujumbe mkewe 'niamshe saa 11 alfajiri'

Mume akaamka saa 3 asubuhi. Na hasira juu. Na kujikuta keshachelewa ndege.
Juu ya meza akakuta kikaratasi kimeandikwa 'ni saa 11 alfajiri amka.'

No comments:

Post a Comment