Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 19, 2010

Sokoni

Mwanamke mmoja wakati anatoa pesa kwenye pochi bahati mbaya/nzuri muuza nyanya akaona rimoti.

Muuza: Naona unatembea na rimoti dada ya tv kulikoni?
M'ke: Mume wangu amekataa kunisindikiza hii ndio dawa yake.

No comments:

Post a Comment