Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 25, 2010

Baba, mama, mtoto

Baba, Mama na mtoto wakiwa mezani wanakula chakula cha jioni. Ndipo mtoto aliponena jambn, ''baba, baba... kitanda chenu kina sifa.''

Baba: Kwanini unasema hivyo mwanangu?
Mtoto: Baba wewe ukisafiri kinapiga kelele usiku kucha.

No comments:

Post a Comment