Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 20, 2010

Darasani

Mwalimu aliwauliza wanafunzi darasani, 'nina machungwa saba nikitoa manne yanabaki mangapi?'
Mwanafunzi mmoja akajibu, 'yapo wapi?'

No comments:

Post a Comment