Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 19, 2010

Ndoa ilodumu

Wapendanao wawili waliishi kwenye ndoa miaka 50. Watoto 10, wajukuu 20. Mtu mmoja akauliza 'mmewezaje miaka yote hiyo?'
Mke akajibu, 'tulipeana ahadi atae kua wa kwanza kupaki nguo ili tutengane atatakiwa awachukue watoto wote.'

No comments:

Post a Comment