Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 23, 2010

Ugenini

Jamaa mmoja wa kazi za ndani almaarufu house boy, alipoambiwa asisahau kumpa chakula mbwa hali ilikuwa hivi baada ya bosi wake kurudi, ''...nimemtengea mbwa chakula ameshakula ila matunda mpaka sasa hajayala.''

No comments:

Post a Comment