Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 19, 2010

Baba muoga

Watoto wawili:
Wa1: Baba yangu ni muoga usiku kulala peke ake. Anamchukua boby wetu (mbwa) amlinde chumbani.
Wa2: Baba yangu muoga mpaka mama akienda shift usiku anamchukua m'ke wa jirani awe nae usiku.

No comments:

Post a Comment