Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 19, 2010

Soseji... (wakubwa tu)

Waskhaji wawili walikuwa na elfu mbili tu na pombe wanaitaka. Mmoja akaichukua na kuingia duka la soseji akaitumia yote wakaanza safari ya bar.

M: Ona sasa umetumia buku mbili yote hata soda hatupati
N: Tulia kijana nna plan kichwani we pata bia tu. Wakaendelea tu pata bia zao.

Muda ukafika jamaa akaitoa soseji na kuiweka ilipo zipu ya suruali na kumuambia ,wenzake ajifanye anai... Mhudumu alipowaona akawatimua.
Wakafanya hivyo kwa bar takribani saba huku wakianza kulewa.

M: Aisee mimi nimechoka sasa, mdomo na magoti pia.
N: Unafikiri mimi je... Nimechoka pia ile soseji tumeipoteza tangu bar ya tatu.

No comments:

Post a Comment