Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 19, 2010

Mambo ya ulaya

Mswahili mmoja alienda nje ya nchi. Sasa siku moja alishuhudiwa akitoka toka sana nje kwenda kwenye mail box (sanduku la barua) nje ya nyumba aliyofikia.

Jirani aliekimuangalia akamuuliza, 'inaelekea una barua muhimu kweli unaisubiria?'
Akajibu: Hapana nafanya kazi kwenye kompyuta sasa inaniambia ''you've got mail'' mara kwa mara.

No comments:

Post a Comment