Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 20, 2010

Ahadi

''Nilipofika nyumbani usiku wa jana mke wangu akaniambia nimpeleke sehemu expensive (ya gharama)'' jamaa akimuambia rafiki.

Rafiki: Ukampeleka wapi?
Jamaa: Nkampeleka petrol station...Baba mmoja alichelewa kumpeleka mwanae shule, hivyo akawa anaendesha gari kasi kidogo mpaka akavuka taa nyekundu.

Baba: Mungu wangu nimevuka taa nyekundu.
Mtoto: Usijali hata gari ya polisi nyuma yetu imevuka.

No comments:

Post a Comment