Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 22, 2010

Mapenzi, Faraja na Imani

Mtoto: Baba, nini tofauti kati ya MAPENZI, FARAJA na IMANI?
Baba: Labda nikujibu kwa mifano utaelewa zaidi....
Mama yako ni mke wangu MPENZI, huyu msichana wetu wa kazi ni FARAJA yangu, halafu nina IMANI kwamba mimi ni baba yako mzazi...!

No comments:

Post a Comment