Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 21, 2010

Mda wa kula

Mtoto alianza kuongea wakati anakula na mama yake.
Mama yake akamkatisha, ''Nyamaza usiongee wakati wa kula sio tabia njema mwanangu, utaongea baada ya kula.''

Baada ya kula mama yake akamuuliza, ''enh, ulikuwa unasemaje mwanangu?''
Mtoto akajibu, ''Usijali nilikua nataku kukuambia kuna mende kwenye chakula, ila umeshamla.''

No comments:

Post a Comment