Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 22, 2010

Maumimivu

Mgonjwa alienda kwa daktari wa meno kung'oa jino.
Mgonjwa: Sh ngapi kung'oa jino?
Dokta: Na maumivu inakuwa 20,000/=. Bila maumivu itakuwa 10,000/=.
Mgonjwa: Oh, ng'oa bila maumivu.

Wakati shughuli ya kung'oa ilipoanza mambo yakawa hivi:

Mgonjwa: Aaagghh...
Dokta: Kumbuka, na maumivu inakuwa 20,000/=

No comments:

Post a Comment