Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 20, 2010

Bia za bure

Mlevi mmoja baada ya kulewa akadaiwa hela ya bia akajibu 'nimeshakulipa'
Mhudumu akasema 'ok kama umelipa haina shida''

Mlevi alipotoka akamuambia mwingine. Nae alipotoka akamuambia mwingie akanywe za bure.

Huyu watatu alipoingia baada ya mda kidogo mhudumu akanena 'kuna jamaa wawili leo hawajanilipa, atakaeleta ujinga ule tena nampa ngumi ya uso.'

Yule jamaa watatu akamkatisha ''wasikuumize kichwa hao nipe chanji yangu niondoke...''

No comments:

Post a Comment