Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 29, 2010

Siku ya harusi

Mwanaume mmoja alikuwa na ugonjwa wa kusahau sahau sana, siku moja wakati yupo nyumbani anafua nguo zake na usafi kwa ujumla, ghafla akaingia mwanamke akiwa amefyumu ile mbaya. Kumbe alikuwa ni bibi harusi ndani ya vazi lake tayari, na huyo aliemkuta akifanya usafi ndio mume mtarajiwa, hakuonekana kanisani.

No comments:

Post a Comment