Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 20, 2010

Hasira

''kwa nini kila nkikunasa kibao haukasiriki au kurudisha?'' Mume aliuliza.
Mke akajibu, ''nasafisha choo''
Mume: Mh! Ndio inaidiaje?
Mke: Natumia mswaki wako kusafisha choo.

No comments:

Post a Comment