Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 27, 2010

Pancha

Baba mmoja alimuacha mwanae kwenye gari kwa muda. Punde kidogo mtoto akasikia kama gari inatikisika, kuchungulia akamuona kibaka ameinama kwenye tairi.

Mtoto akamuuliza yule kibaka, ''unafanya nini kwenye gari ya baba?''
Kibaka kujihami akajibu, ''baba yako kanituma nije kuziba pancha.'' Mtoto akasema 'oh okey'

Baba aliporudi akauliza, ''imekuwaje hamna matairi?'' mtoto ndipo akajibu, 'alikuja mtu akasema anaenda kuziba pancha ndo nkamuambia achukue yote manne akazibe asichelewe sana.''

No comments:

Post a Comment