Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 26, 2010

Ufugaji kisasa

Jamaa mmoja mfugaji aliamua kuwa mfugaji wa kisasa. Hivyo basi akanunua mashine ya kukamulia maziwa ya ng'ombe.

Siku moja mkewe alipotoka akaenda kuijaribu kwa kuchomeka uume wake pale, akaiwasha ikampa matokeo ya kuridhisha.

Alipomaliza akawa anataka kuizima, kila akitafuta hapaoni. Akapiga simu kwa supplier kuomba msaada. ''halo... nimeunua mashine.... ni nzuri sana... je unaichomoaje toka kwenye chuchu za ng'ombe?''

Supplier akamjibu, ''oh, hiyo ipo automatic inajizima baada ya kupata galoni mbili za maziwa.''

No comments:

Post a Comment