Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 18, 2010

Redio kizungu

Kaka mmoja wakati anasikiliza BBC idhaa ya kiingereza akiwa na mwenzake, aslisikiliza radio uzalendo ukamshinda kwa vile kizungu/kimombo hakipandi.

Akamuuliza mwenzake ''eti hawa jamaa kwenye radio hawana zile zinaitwa 'subtitles?' enhe?''
Subtitle - maandishi tafsiri mfano kwenye sinema.

No comments:

Post a Comment