Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 17, 2010

Namba ya simu

Kaka mmoja kwenye dala dala alikutana na mrembo mzuuri. Baada ya maongezi kadha wa kadha yule dada wakati anashuka akakumbuka kuomba namba ya simu.

Yule dada akampatia namba tatu za simu na kumfafanilia hivi: ''just incase ukinikosa kwenye namba ya kwanza ambayo ni ya baba nipigie kwenye ya pili ya mama na ya tatu ni kaka yangu.

No comments:

Post a Comment