Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 17, 2010

Maktaba

Jamaa mmoja alipiga simu na kuuliza ''muda gani mnafungua maktaba?''
Akajibiwa: Saa tatu kamili asubuhi, kwa nini unanipigia usiku wote huu kuuliza hilo? Kuna nini mpaka unataka kuingia saa tatu kamili asubuhi.

Aliepiga simu akajibu: Nani amekuambia nataka kuingia? Naulizia muda ili nijue nataka saa ngapi humu maktaba.

No comments:

Post a Comment