Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 17, 2010

Anatafutwa

Polisi wawili walifika sehemu moja wakiwa na picha ya mtuhumiwa wanae mtafuta.
Wakamuuliza yule mtoto wa miaka minne, ''umemuona huyu mtu? (wakimuonyesha picha) sisi polisi tunamtafuta?''

Mtoto akawajibu: Sijamuona.
Halafu akawauliza swali papo hapo.
''kwa nini hamkuzuia wakati mnampiga hiyo picha?''

No comments:

Post a Comment