Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 16, 2010

Kinyozi part ii

Kinyozi mmoja alikuwa na kijibanda chake cha kufanyia kazi yake. Siku moja alihamisha ofisi yake na kuipeleka upande wa nyuma ya jengo. Ili asipoteze wateja wake akaacha kibao kinachoonyesha mahala alipo kimeandikwa "Kinyozi alie kuwa ana nyoa mbele sasa anayoa nyuma."

No comments:

Post a Comment