Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 3, 2010

Majaribio...

Jamaa mmoja alitengeneza sumu. Sasa akawa anatafuta pa kuijaribia. Akaenda kwa mbwa wake na kumuekea aionje kama ni kali au la...
Mbwa wake akamjibu ''we vipi? Mi naoa mwezi ujao allah.''

No comments:

Post a Comment