Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 3, 2010

Rangi ya Harusi

Mtoto mmoja aihudhuria harusi kwa mara ya kwanza, akauliza "mama kwanini bi. harusi amevaa rangi nyeupe?" Mama yake akamjibu na kumuambia "rangi nyeupe ni rangi ya furaha na leo ni siku yake ya furaha"

Mtoto akakaa kimya kwa muda na kuuliza tena "Mbona bwana harusi kavaa rangi nyeusi?"

No comments:

Post a Comment