Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 3, 2010

Sumu ya nyoka

Jamaa mmoja aligongwa na nyoka. Kwa vile palikuwa mbali kidogo na hospitali. Akachukua hatua ya kwenda uku anakimbia.
Alipofika hospitali akakuta dokta anazalisha.

"siwezi kuacha hii kazi kwanza. Fanya hivi, nenda kakate sehemu husika alama ya x halafu inyonye sumu yote itoke.'' Dokta alimuambia.

Jamaa mbio mbia mpaka eneo la tukio, alipofika yule mwenzake akuliza ''dokta amesemaje?''
Jamaa alieenda hospitali akamjibu, ''dokta kasema unakufa tu.''

No comments:

Post a Comment