Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, August 3, 2010

Hewani

Kwenye ndege moja abiria wakiwemo iliruka na baadae rubani akawa anatangaza kuhusu hali ya hewa ilivyo njema nk nk. Baada ya kutangaza akasahau kuiweka off mic aliyokiitumia na kufanya maongezi yao wao ma-pilot kusikika kwa abiria wote ndegeni.

Maongezi yao yallikuwa hivi "aisee ingawa ni one hour tangu tumeacha ardhi nimegundua kuwa geji ipo karibu na emptyi ilikuwa full"
Mwenzake akamjibu: "si nilisahau kufunga mfuniko wa tank la mafuta baada ya kupiga chakachua (kuiba mafuta ya deal).
"Sasa tunafanyaje?" wa kwanza aliuliza. Wa pili akajibu "Ngoja tuwaulize abiria kama kuna mtu ana mafuta ya akiba?"

No comments:

Post a Comment