Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 29, 2011

Gundua

Jamaa mmoja alikua akinena "eti wazungu wamegundua mlima Kilimanjaro, kwa wachaga walikuwa wapi hapo awali?"
Kisha akaendelea kunena "juzi walimkamata mshkaji akiwa na gari isiyo yake, kumuuliza akajibu ameigundua kuwa ni gari lilikua limepaki"

No comments:

Post a Comment