Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 2, 2011

Sumu

Jamaa mmoja alitengeneza sumu kisha akamuambia mwenzake ambae ni rafiki yake "aisee sijui kama hii sumu ni kali, ngoja niionje halafu kama sio kali niendelee kuitengeneza iwe kali zaidi"

No comments:

Post a Comment