Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 25, 2011

Maasai

Mmaasai mmoja alimuona rafiki yake akipita na dumu tupu, akamuuliza "rafiki naenda wapi na dumu?" Rafikie akajibu "naenda nunua maziwa ya ng'ombe"

Mmaasai kusikia vile akanena akimuambia rafikie "rafiki na tafundisha ng'ombe yangu kuusa masiwa"

No comments:

Post a Comment