Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 3, 2011

Maisha marefu

Mwanaume: Kuna njia yeyote ya kua na maisha marefu?
Dokta: Funga ndoa.
Mwanaume: Unadhani itasaidia?
Dokta: Hapana, itasaidia kupunguza mawazo ya kua na maisha marefu.

No comments:

Post a Comment