Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 29, 2011

Polisi alimsimamisha Mzee mmoja akagundua kuwa amelewa huku akiendesha gari, akamuambia yule mlevi "shuka kwenye gari na usimame kwa mguu mmoja". Ili amjua kama stamina anayo au la!?

Yule mzee akamjibu "Askari nitolee wheel chair yangu nyuma kwenye gari kwanza"

No comments:

Post a Comment