Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 18, 2011

Malaika

Mtoto mdogo wa kiume kamsimulia mama yake: 'Mama unafahamu kuwa dada (house girl) kumbe ni malaika? Mama kwanini unasema hivyo mwanangu?

Mtoto: Nilimwona akiwa uchi mkono ameshika ukutani akisema mungu wangu nakuja, nakuja kama baba asingekuwa amemshikilia kwa nguvu kwa nyuma angeweza kupaa juu mbinguni.

No comments:

Post a Comment