Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 3, 2011

Mbwa na mzungu

Mzungu mmoja alikua anafanya matembezi ya jioni akiwa na mbwa wake akakutana na vibaka wawili, sasa kwa sababu ya mbwa kama wale wa polisi. Kilichofuata kwa vile wakiogopa mbwa walimuambia mzungu "we mzungu tunataka kukupora simu tunaiomba."

No comments:

Post a Comment