Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 19, 2011

Msibani na siasa

Mwanasiasa mmoja alienda hudhuria msiba, na kwa vile alikuwa mtu maharufu eneo hilo alipata wasaa wa kunena jambo kuhusu rafiki yake marehemu hali ikawa hivi alipoanza kunena jambo "msiba oyee?"

No comments:

Post a Comment