Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 3, 2011

Mapenzi Mapenzi

Kabla ya ndoa, mwanaume atadanganya kuchelewa kulala akimuza mchumba wake au walichokiongea kuhusu mapenzi yao.
Baada ya ndoa: Mwanaume atalala usingizi kabla hujamaliza kuongea.

No comments:

Post a Comment