Mume na mke walienda kwa mshauri kuhusiana na matatizo ya ndoa yao. Walipofika, mwanamke akaanza elezea kwa muda wa dakika 15 kuhusu kero azipatazo.
Alipomaliza, mshauri akanyanyuka kwenye kiti akaenda akamshika yule mwanamke kwa kuonye anamjali, akambusu hapa na pale. Yule mwanamke akabaki kimya bila la kuongea.
Mume akauliza, ''umewezaje kumnyamazisha?''
Mshauri akajibu "unatakiwa umfanyie hivyo kila siku."
Mume akajibu "basi ntakua namleta kwako"
Karibu Sana.
Cheka Unenepe
Monday, August 9, 2010
Sunday, August 8, 2010
Mitumbani
Kuna kaka mmoja alienda nunua nguo za mtumba akampatie mpenzi wake zawadi. Aliposagura sagura akakutana na kisketi kifupi.
Akauliza, ''khaa hii sketi mbona fupi sana...?
Akajibiwa na muuza mitumba ''aanha? Hicho si cha kuzimia tv tu nyumbani...''
Akauliza, ''khaa hii sketi mbona fupi sana...?
Akajibiwa na muuza mitumba ''aanha? Hicho si cha kuzimia tv tu nyumbani...''
MC
Lectural wetu alikuwa akikamata paper mbili mmedeseana (mmegezeana/cheat paper) alikuwa anaomba mje kuidentify the original..
Mtihani upi...?
Wakati nipo chuo siku moja lecture wetu wakati anasahisha mitihani, bahati nzuri/mbaya akakuta mitihani miwili inafanana majibu yake.
Akawaita wote wawili wenye mitihani husika, walipofika akawauliza ''upi original?''
Akawaita wote wawili wenye mitihani husika, walipofika akawauliza ''upi original?''
Bar
Jamaa mmoja aliingia bar moja uko majuu. Alipofika akaagiza pale kaunta kichwaji kwenye glasi ndogo akanywa.
Alipomaliza akaambiwa bei yake ni sarafu (coin).
Kwa vile kaunta ni kubwa akaipiga na kidole sarafu moja mpaka mwisho wa kaunta upande wa kushoto, na nyingine upande wa kulia na ya mwisho akaiweka katikati ya kaunta (viti virefu). Kisha akatimua.
Mhudumu akamuangaliaa asijue la kumfanya.
Siku ya pili jamaa akaja tena akafanya vile vie.
Siku ya tatu pia... Akatoa noti wakati wa malipo na chenji inatakiwa zirudi Sarafu mbili.
Mhudumu akachukua sarafu ya kwanza akaiweka mwisho kabisa mwa kauta kushoto na ingine kulia. Ili tu ampe huyo jamaa usumbufu aliompatia siku mbili zilizopita.
Yule mteja alipoona vile akato sarafu na kuiweka katikati ya kaunta na kumuambia ''nipe glasi nyingine.''
Alipomaliza akaambiwa bei yake ni sarafu (coin).
Kwa vile kaunta ni kubwa akaipiga na kidole sarafu moja mpaka mwisho wa kaunta upande wa kushoto, na nyingine upande wa kulia na ya mwisho akaiweka katikati ya kaunta (viti virefu). Kisha akatimua.
Mhudumu akamuangaliaa asijue la kumfanya.
Siku ya pili jamaa akaja tena akafanya vile vie.
Siku ya tatu pia... Akatoa noti wakati wa malipo na chenji inatakiwa zirudi Sarafu mbili.
Mhudumu akachukua sarafu ya kwanza akaiweka mwisho kabisa mwa kauta kushoto na ingine kulia. Ili tu ampe huyo jamaa usumbufu aliompatia siku mbili zilizopita.
Yule mteja alipoona vile akato sarafu na kuiweka katikati ya kaunta na kumuambia ''nipe glasi nyingine.''
Biashara
Jamaa mmoja nje ya duka lake aliandika tangazo dogo kwenye kibao. ''Mali mpya imeingia, Mali mpya imeingia... Wale wenye matatizo ya kutotabasamu wakiwa barabarani. Sasa tumewaletea tabasamu la kila aina toka China. Bei yetu ni nzuri. Karibuni sana.
Saturday, August 7, 2010
Mtoto ali...
Mtoto mmoja alimuuliza mama yake, ''mama kuna siku chache kabla ya kunizaa nilisikia mdundo wa mziki mkubwa, ulikuwa umeenda disko au kwenye harusi?''
Friday, August 6, 2010
Mlevi mlemavu
Mlevi mmoja alikuwa hana mikono aleinda Bar, kwa vile hakuwa na mikono yote miwili alikua akimuomba mhudumu amsaidie kumnywesha bia, kumfuta mdomo na kumtolea pesa ya kichwaji toka mifukoni mwa huyu asie na mikono.
Ikafika kipindi jamaa asiye na mikono akamuuliza mhudumu ''samahani msalani/chooni ni wapi hapa bar?''
Mhudumu akajibu, ''sisi hatuna choo we toka nje halafu kuna jengo hili ilipo hii bar la kwanza, la pili halafu utakuta choo.''
Ikafika kipindi jamaa asiye na mikono akamuuliza mhudumu ''samahani msalani/chooni ni wapi hapa bar?''
Mhudumu akajibu, ''sisi hatuna choo we toka nje halafu kuna jengo hili ilipo hii bar la kwanza, la pili halafu utakuta choo.''
Basi mpaka ubungo
Abiria mmoja alipanda basi toka Arusha mpaka Dar, alipofika ubungo akamuambia konda hivi: ''konda tukifika ubungo naomba unishushe mule ubongo ndani stand ya mabasi ya mkoa''
Maisha ya alfajiri Dsm
Jamaa mmoja kwa vile anaishi mbali na katikati ya mji wa Dar es Salaam, ilikuwa inambidi kuamka saa 10 usiku ili saa 11 awe barabarani, na kwa sababu jiji la Dar lina foleni za magari kila kona, anajikuta nyumbani anarudi saa 5 usiku.
Siku moja aliporudi alipoingia sebuleni mwanae kwa vile hamuonagi mara kwa mara akasema hivi... ''mama... Mama... Kuna mgeni sebuleni.''
Siku moja aliporudi alipoingia sebuleni mwanae kwa vile hamuonagi mara kwa mara akasema hivi... ''mama... Mama... Kuna mgeni sebuleni.''
Pa kushushwa
Jamaa mmoja alipanda basi toka mbeya, alipokaribia karibia ubungo akiwa maeneo ya kimara akanyanyuka kwenye kiti chake na kwenda mpaka kwa dereva, kisha akamuambia ''dereva! Samahani unaweza ukanishusha kwanza hapo sinza halafu uje zako ubungo?''
Sinema kwenye basi
Abiria mmoja wakati yupo kwenye basi toka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine.
Aliangalia sinema waliyoekewa abiria wote alifika hatua akamsogelea dereva kwa vile alikuwa karibu nae akamuuliza.
''dereva, tangu tumetoka Mwanza na bado tupo njiani. Wenzio twaangalia sinema... Mbona wewe huangalii?''
Aliangalia sinema waliyoekewa abiria wote alifika hatua akamsogelea dereva kwa vile alikuwa karibu nae akamuuliza.
''dereva, tangu tumetoka Mwanza na bado tupo njiani. Wenzio twaangalia sinema... Mbona wewe huangalii?''
Ajali
Marafiki wawili wa kiume walipata ajali, bahati nzuri hawakuumia kama ilivyo kwa gari.
Mmoja akamuambia mwenzake, ''kabla hatujalaumiana kosa la nani ngoja tushereke tumepona''
Mwenzake akajibu, ''kweli kabisa tufanye hivyo.''
Wakachukua chupa ya pombe kali kwenye gari haikuvunjika wa kwanza akanywa kisha akaifuta chupa na kumpa mwenzake nae anywe.."
Mwenzake akamjibu ''hapana ngoja kwanza mpaka trafiki polisi aje...''
Mmoja akamuambia mwenzake, ''kabla hatujalaumiana kosa la nani ngoja tushereke tumepona''
Mwenzake akajibu, ''kweli kabisa tufanye hivyo.''
Wakachukua chupa ya pombe kali kwenye gari haikuvunjika wa kwanza akanywa kisha akaifuta chupa na kumpa mwenzake nae anywe.."
Mwenzake akamjibu ''hapana ngoja kwanza mpaka trafiki polisi aje...''
Ajali
Marafiki wawili wa kiume walipata ajali, bahati nzuri hawakuumia kama ilivyo kwa gari.
Mmoja akamuambia mwenzake, ''kabla hatujalaumiana kosa la nani ngoja tushereke tumepona''
Mwenzake akajibu, ''kweli kabisa tufanye hivyo.''
Wakachukua chupa ya pombe kali kwenye gari haikuvunjika wa kwanza akanywa kisha akaifuta chupa na kumpa mwenzake nae anywe.."
Mwenzake akamjibu ''hapana ngoja kwanza mpaka trafiki polisi aje...''
Mmoja akamuambia mwenzake, ''kabla hatujalaumiana kosa la nani ngoja tushereke tumepona''
Mwenzake akajibu, ''kweli kabisa tufanye hivyo.''
Wakachukua chupa ya pombe kali kwenye gari haikuvunjika wa kwanza akanywa kisha akaifuta chupa na kumpa mwenzake nae anywe.."
Mwenzake akamjibu ''hapana ngoja kwanza mpaka trafiki polisi aje...''
Njia nyembamba
Dereva mmoja wa lori akiwa barabari akiendesha. Mbele akaona alama ya barabarani ikionyesha njia nyembamba mbele, na daraja dogo.
Alipokuja kuhamaki tayari alikuwa ameshakwama. Askari alipokuja akamuuliza ''we hukuona alama za barabarani?''
Jamaa akajibu, ''niliiona ila nimeishiwa tu mafuta ndio maana nipo hapa.''
Alipokuja kuhamaki tayari alikuwa ameshakwama. Askari alipokuja akamuuliza ''we hukuona alama za barabarani?''
Jamaa akajibu, ''niliiona ila nimeishiwa tu mafuta ndio maana nipo hapa.''
Thursday, August 5, 2010
Kwenye mtihani
Mwanafunzi mmoja baada ya mtihani aliitwa na mwalimu wa darasa. ''wewe kwanini umefanya mitihani miwili?''
Mwanafunzi akajibu, ''hapana mwalimu mi nimefanya mmoja''
kisha mwanafunzi aliendelea kuelezea ''mwanafunzi mmoja alikuwa ananigezea labda amegezea mpaka jina langu.''
Mwanafunzi akajibu, ''hapana mwalimu mi nimefanya mmoja''
kisha mwanafunzi aliendelea kuelezea ''mwanafunzi mmoja alikuwa ananigezea labda amegezea mpaka jina langu.''
Jina...
Wanafunzi kwenye mtihani walipoambiwa aanze kufanya mti mmoja akamuita mwalimu msimamizi wa mtihani na kumuuliza, ''Mwalimu samahani, nimesahau jina langu.. Hivi naitwa nani vile?
Wednesday, August 4, 2010
Kwenda msalani
''naomba kwenda msalani...'' aliwaomba enzake aliokua amekaa nao.
Baada ya muda mfupi sana akarudi ''wenzake wakamuuliza "vipi mbona umerudi fasta hivyo? Au chooni kuna mtu?''
Jamaa akajibu ''nimesahau kikojoleo changu hamjakiona hapa?''
Baada ya muda mfupi sana akarudi ''wenzake wakamuuliza "vipi mbona umerudi fasta hivyo? Au chooni kuna mtu?''
Jamaa akajibu ''nimesahau kikojoleo changu hamjakiona hapa?''
Mwendo wa kasi
Siku moja jamaa mmoja wakati anamsimulia jambo mwenzake, ghafla ikapita gari spidi kweli kweli.
Jamaa aliekimsimulia jambo mwenzake akasema ''khaa, ile gari ikipata ajali hata mponda majiko hatohitaji lile body la gari.''
Jamaa aliekimsimulia jambo mwenzake akasema ''khaa, ile gari ikipata ajali hata mponda majiko hatohitaji lile body la gari.''
Tuesday, August 3, 2010
Chupi ya chuma
Mwanaume mmoja alimchongea kufuli ya chupi ya chuma. Ili akienda masomoni amkabidhi rafiki yake awe mlinzi...
Siku ilipofika akampa rafiki yake kipenzi akamuambia aitunze mpaka atakaporudi.
Jamaa akawa anamkimbilia mwenye mke mda mfupi baadae... Akaulizwa... ''vipi kuna tatizo?''
Aliepewa fungua akajibu ''samahani umenipa ufunguo sio wenyewe.''
Siku ilipofika akampa rafiki yake kipenzi akamuambia aitunze mpaka atakaporudi.
Jamaa akawa anamkimbilia mwenye mke mda mfupi baadae... Akaulizwa... ''vipi kuna tatizo?''
Aliepewa fungua akajibu ''samahani umenipa ufunguo sio wenyewe.''
Kama fumanizi.
Mwanaume mmoja akiongea ''nilimuandikia mke wangu email kuwa ntarudi siku moja kabla, nimefika nyumbani nimemkuta na mwanaume best yangu kitandani.''
Rafiki yake akamjibu, ''labda hakuiona email.''
Rafiki yake akamjibu, ''labda hakuiona email.''
Majaribio...
Jamaa mmoja alitengeneza sumu. Sasa akawa anatafuta pa kuijaribia. Akaenda kwa mbwa wake na kumuekea aionje kama ni kali au la...
Mbwa wake akamjibu ''we vipi? Mi naoa mwezi ujao allah.''
Mbwa wake akamjibu ''we vipi? Mi naoa mwezi ujao allah.''
Rangi ya Harusi
Mtoto mmoja aihudhuria harusi kwa mara ya kwanza, akauliza "mama kwanini bi. harusi amevaa rangi nyeupe?" Mama yake akamjibu na kumuambia "rangi nyeupe ni rangi ya furaha na leo ni siku yake ya furaha"
Mtoto akakaa kimya kwa muda na kuuliza tena "Mbona bwana harusi kavaa rangi nyeusi?"
Mtoto akakaa kimya kwa muda na kuuliza tena "Mbona bwana harusi kavaa rangi nyeusi?"
Sumu ya nyoka
Jamaa mmoja aligongwa na nyoka. Kwa vile palikuwa mbali kidogo na hospitali. Akachukua hatua ya kwenda uku anakimbia.
Alipofika hospitali akakuta dokta anazalisha.
"siwezi kuacha hii kazi kwanza. Fanya hivi, nenda kakate sehemu husika alama ya x halafu inyonye sumu yote itoke.'' Dokta alimuambia.
Jamaa mbio mbia mpaka eneo la tukio, alipofika yule mwenzake akuliza ''dokta amesemaje?''
Jamaa alieenda hospitali akamjibu, ''dokta kasema unakufa tu.''
Alipofika hospitali akakuta dokta anazalisha.
"siwezi kuacha hii kazi kwanza. Fanya hivi, nenda kakate sehemu husika alama ya x halafu inyonye sumu yote itoke.'' Dokta alimuambia.
Jamaa mbio mbia mpaka eneo la tukio, alipofika yule mwenzake akuliza ''dokta amesemaje?''
Jamaa alieenda hospitali akamjibu, ''dokta kasema unakufa tu.''
Hewani
Kwenye ndege moja abiria wakiwemo iliruka na baadae rubani akawa anatangaza kuhusu hali ya hewa ilivyo njema nk nk. Baada ya kutangaza akasahau kuiweka off mic aliyokiitumia na kufanya maongezi yao wao ma-pilot kusikika kwa abiria wote ndegeni.
Maongezi yao yallikuwa hivi "aisee ingawa ni one hour tangu tumeacha ardhi nimegundua kuwa geji ipo karibu na emptyi ilikuwa full"
Mwenzake akamjibu: "si nilisahau kufunga mfuniko wa tank la mafuta baada ya kupiga chakachua (kuiba mafuta ya deal).
"Sasa tunafanyaje?" wa kwanza aliuliza. Wa pili akajibu "Ngoja tuwaulize abiria kama kuna mtu ana mafuta ya akiba?"
Maongezi yao yallikuwa hivi "aisee ingawa ni one hour tangu tumeacha ardhi nimegundua kuwa geji ipo karibu na emptyi ilikuwa full"
Mwenzake akamjibu: "si nilisahau kufunga mfuniko wa tank la mafuta baada ya kupiga chakachua (kuiba mafuta ya deal).
"Sasa tunafanyaje?" wa kwanza aliuliza. Wa pili akajibu "Ngoja tuwaulize abiria kama kuna mtu ana mafuta ya akiba?"
Ngo-ngo-ngo
Jamaa mmoja alisikia mlango unagongwa...
Alipoenda kufungua akakuta panya mlangoni. Akamchukua na kumtupia mbali.
Wiki moja baadae akasikia mlango unagongwa. Akaenda fungua akakuta panya tena. Yule panya akamuuliza ''za tangu siku ile?''
Alipoenda kufungua akakuta panya mlangoni. Akamchukua na kumtupia mbali.
Wiki moja baadae akasikia mlango unagongwa. Akaenda fungua akakuta panya tena. Yule panya akamuuliza ''za tangu siku ile?''
Ahera
Jamaa alikufa akaenda ahera, huko akakutana na shetani, akamuambia "huku kuna vyumba vitatu, unatakiwa kuchagua kimoja ndio kitakuwa unaishi humo"
Jamaa akakubali na kwenda:
Chumba cha kwanza: Akakuta watu wamelala juu ya kitanda cha miba. Akasema "hapana ngoja niangalia chumba kingine"
Chumba cha pili: Akakuta watu wanaogelea kwenye maji machafu. Jamaa akakataa tena.
Chumba cha tatu: Akakuta watu wamekaa wanapata kahawa. Akasema "hiki ndio kinanifaa" akaingia.
Baada ya dakika chache akaja mtu na kuwa tangazia "haya mapumziko ya kahawa yameisha "kila mtu arudi kwenye kiti chake nyoka mmoja mmoja anapita kuwagonga"
Jamaa akakubali na kwenda:
Chumba cha kwanza: Akakuta watu wamelala juu ya kitanda cha miba. Akasema "hapana ngoja niangalia chumba kingine"
Chumba cha pili: Akakuta watu wanaogelea kwenye maji machafu. Jamaa akakataa tena.
Chumba cha tatu: Akakuta watu wamekaa wanapata kahawa. Akasema "hiki ndio kinanifaa" akaingia.
Baada ya dakika chache akaja mtu na kuwa tangazia "haya mapumziko ya kahawa yameisha "kila mtu arudi kwenye kiti chake nyoka mmoja mmoja anapita kuwagonga"
Monday, August 2, 2010
Pingu
Mtoto mmoja wa miaka mitano siku ya harusi ya wazazi wake aliposikia neno hili ''...pingu za maisha...''
Siku chache kabla ya harusi akamuuliza mama yake, "mama we na baba nnataka funga pingu za maisha?"
Mama yake akajibu ndio.
Mtoto akaendelea, "sasa mi ntabaki na nani mkifungwa pingu?''
Siku chache kabla ya harusi akamuuliza mama yake, "mama we na baba nnataka funga pingu za maisha?"
Mama yake akajibu ndio.
Mtoto akaendelea, "sasa mi ntabaki na nani mkifungwa pingu?''
Siku ya mtihani
Mwanafunzi mmoja baada ya zile dakika tano za mwanzo za mtihani, baada ya kuona hali ishakuwa tete akamuambia msimamizi huku akimnong'oneza ''samahani nimesahau ki-boom changu bwenini, naomba kwenda mara moja.''
Mwanafunzi na mwalimu
Mwalimu mmoja wakati akifundisha darasani alimuona mwanafunzi mmoja amesimama akamuuliza, ''wewe una matatizo gani? Mbona umesimama?''
Mwanafunzi akajibu, ''nimeona umesimama peke yako mda wote nakusaidia...''
Mwanafunzi akajibu, ''nimeona umesimama peke yako mda wote nakusaidia...''
Subscribe to:
Posts (Atom)