Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 6, 2010

Mlevi mlemavu

Mlevi mmoja alikuwa hana mikono aleinda Bar, kwa vile hakuwa na mikono yote miwili alikua akimuomba mhudumu amsaidie kumnywesha bia, kumfuta mdomo na kumtolea pesa ya kichwaji toka mifukoni mwa huyu asie na mikono.

Ikafika kipindi jamaa asiye na mikono akamuuliza mhudumu ''samahani msalani/chooni ni wapi hapa bar?''

Mhudumu akajibu, ''sisi hatuna choo we toka nje halafu kuna jengo hili ilipo hii bar la kwanza, la pili halafu utakuta choo.''

No comments:

Post a Comment