Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 6, 2010

Basi mpaka ubungo

Abiria mmoja alipanda basi toka Arusha mpaka Dar, alipofika ubungo akamuambia konda hivi: ''konda tukifika ubungo naomba unishushe mule ubongo ndani stand ya mabasi ya mkoa''

No comments:

Post a Comment