Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 6, 2010

Maisha ya alfajiri Dsm

Jamaa mmoja kwa vile anaishi mbali na katikati ya mji wa Dar es Salaam, ilikuwa inambidi kuamka saa 10 usiku ili saa 11 awe barabarani, na kwa sababu jiji la Dar lina foleni za magari kila kona, anajikuta nyumbani anarudi saa 5 usiku.

Siku moja aliporudi alipoingia sebuleni mwanae kwa vile hamuonagi mara kwa mara akasema hivi... ''mama... Mama... Kuna mgeni sebuleni.''

No comments:

Post a Comment