Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 6, 2010

Njia nyembamba

Dereva mmoja wa lori akiwa barabari akiendesha. Mbele akaona alama ya barabarani ikionyesha njia nyembamba mbele, na daraja dogo.

Alipokuja kuhamaki tayari alikuwa ameshakwama. Askari alipokuja akamuuliza ''we hukuona alama za barabarani?''

Jamaa akajibu, ''niliiona ila nimeishiwa tu mafuta ndio maana nipo hapa.''

No comments:

Post a Comment