Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, August 5, 2010

Kwenye mtihani

Mwanafunzi mmoja baada ya mtihani aliitwa na mwalimu wa darasa. ''wewe kwanini umefanya mitihani miwili?''

Mwanafunzi akajibu, ''hapana mwalimu mi nimefanya mmoja''
kisha mwanafunzi aliendelea kuelezea ''mwanafunzi mmoja alikuwa ananigezea labda amegezea mpaka jina langu.''

No comments:

Post a Comment