Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, August 4, 2010

Kwenda msalani

''naomba kwenda msalani...'' aliwaomba enzake aliokua amekaa nao.
Baada ya muda mfupi sana akarudi ''wenzake wakamuuliza "vipi mbona umerudi fasta hivyo? Au chooni kuna mtu?''

Jamaa akajibu ''nimesahau kikojoleo changu hamjakiona hapa?''

No comments:

Post a Comment