Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, August 6, 2010

Sinema kwenye basi

Abiria mmoja wakati yupo kwenye basi toka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine.
Aliangalia sinema waliyoekewa abiria wote alifika hatua akamsogelea dereva kwa vile alikuwa karibu nae akamuuliza.

''dereva, tangu tumetoka Mwanza na bado tupo njiani. Wenzio twaangalia sinema... Mbona wewe huangalii?''

No comments:

Post a Comment