Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, September 5, 2010

Kuchelewa

Jamaa aliamka haraka haraka akiwa amechelewa. Mbio mbio akiwahi anapoenda.
Baada ya mda akarudi.
Mama: Vipi mbona umerudi?
Jamaa: Nimechelewa mekuta mlango washafunga kanisani.
Mama: We umeenda kanisa gani?
Jamaa: Hapo konani karibu na...
Mama: Khaa! Pale msikitini jamani kanisa lipo kwa mbele zaidi.

No comments:

Post a Comment