Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, September 5, 2010

Makaburini

Dogo mmoja na wenzake wawili walipita njia moja karibu na makaburi. Sasa wakawa wanaona wengine wamekufa na umri mkubwa mfano 95, 101 nk nk.
Aliporudi nyumbani akamuambia mama yake, "mama mi nikifa niandikeni nimeishi miaka 200"

Mama kwa mshangao akauliza, "hee! We mtoto nani uliwahi msikia...?"
Mtoto: We niandikieni ivo ivo?
Mama: Kwa nini wasema hivyo mwanangu?
Mtoto: Nataka niwashinde wote waliokufa.

No comments:

Post a Comment